Font Size
Yakobo 5:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yakobo 5:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Mmehukumu na kuua wale watu wasio na hatia, na ambao hawakupingana nanyi.
Uwe Mstahimilivu
7 Hivyo kina kaka na kina dada, muwe na subira; hadi kuja kwa mara ya pili kwa Bwana. Kumbukeni kuwa mkulima huyasubiria mazao yake yenye thamani yakue ardhini. Huyangoja kwa subira mpaka yapate mvua za masika na za vuli.[a] 8 Hata ninyi pia mnapaswa kungoja kwa subira. Muwe imara mioyoni mwenu, kwa sababu kuja kwa Bwana mara ya pili kumekaribia.
Read full chapterFootnotes
- 5:7 mvua za masika na za vuli “Mvua za masika” zilinyesha mwanzoni na “mvua za vuli” zilinyesha mwishoni.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International